Mahala Mabaya Yasiporuhusiwa Kuharibu: 
Utabarikiwa, Utainuliwa, Utafunguliwa, Utaponywa, Utapata Mpenyo na Kutofautishwa Milele

Idara Zetu

The <i>Caleb's Group</i>

The Caleb's Group

The Caleb’s Group ni idara ya wanaume waliooa. Lengo la idara hii ni kumrejesha baba kama kichwa cha familia, kama nguzo ya familia, katika dhumuni kuu la baba katika kanisa na utumishi.

Binti Abigaili

Idara hii inalenga kuwaunganisha wanawake wote katika kumtumikia Mungu katika huduma mbalimbali kanisani – Zaburi 68:11, “…wanawake watangazao ni jeshi kubwa”.

Sabaoth <i>Jeshi Kuu</i>

Sabaoth Jeshi Kuu

Idara ya Sabaoth ni ya vijana washirika walio wa umri wa fomu 1 hadi miaka 40. Vijana huusika na utunzi wa mazingira ya kanisa; uinjilisti wa mtaa kwa mtaa au nyumba kwa nyumba.

<i>Watoto</i>

Watoto

Idara ya watoto imelenga kuwafanya watoto wamjue Mungu na njia zake mapema iwezekanavyo – Mithali 22:6,“Mlee mtoto katika njia ipasayo naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.”

Tazama Hebron TV:&nbsp;<i style="font-weight: normal;">StarTimes, Antenna, Channel 416</i>

Tazama Hebron TV: StarTimes, Antenna, Channel 416

Karibu Tuabudu Pamoja

Tupo: Mbezi kwa Msuguri, Dar-es-Salaam

Sunday Live Services

Sunday
3 Asubuhi

Ibada za Ukombozi na Uponyaji

Wednesday
10 Jioni

Shuhuda

Ni Madhabahu yenye kumdhihirisha Mungu wa kweli kwa ibada zenye mdhihirisho wa matendo makuu ya ishara na ajabu kwa kumwabudu katika roho na kweli kwa kusifu, kuabudu Neno lililo hai, maombi, kuomba na maombezi.

MJ… Nilimuuliza Askofu Dr. Manasse DM swali kama angeweza kutukusanya kwa siku moja wanawake wote tuliopata watoto wa muujiza katika madhabahu hii. Bwana Amenifuta machozi na kuniondolea fedheha katika MJI WA BWANA, wala si mimi peke yangu. Tupo wengi hatukuwa na watoto na sasa tunayo furaha ya kuwa na watoto.  UTUKUFU KWA MUNGU.

Ni Madhabahu ya ukombozi, kufungua vifungo, kuponya na kila shauri la shetani na waovu hawatakushinda “Hakika hautalia tena”, utabarikiwa, utainuliwa, utaponywa, na kutofautishwa milele.

Dhabihu za Shukrani

Kwa shukrani ya matendo makuu ya Bwana katika maisha yako, ukiri wa wema na uaminifu wa Mungu.

Waweza Panda Dhabihu Yako ya Shukrani Kupitia

Lipa Namba:
Voda: 68080668 Jina: ENCC Mji wa Bwana
Mixx by Yas: 15274182 Jina: ENCC Mji wa Bwana