Uongozi wa ENCC Tanzania

Askofu Mkuu
Askofu Mkuu

Dk. Manasse Daniel Martin na Mama Ididi Manasse

(Dk. Manasse ni mchungaji mkuu wa ENCC–Mji wa Bwana, Mbezi kwa Msuguri)

Makamu Askofu
Makamu Askofu

Rev. Tito Thomas Tunda na Mama Rose Tunda

(Rev. Tito ni mchungaji ENCC–Hema ya Washindi, Chalinze Mjini)

Katibu Mkuu
Katibu Mkuu

Rev. Jerome Andrew Yohana na Mama Josephine Jerome

(Rev. Jerome ni mchungaji ENCC–Rehobothi Centre, Mlandizi Kibaha)

Mtunza Fedha
Mtunza Fedha

Pastor Adamu Furaha Athumani na Mama Oliva Adamu

(mchungaji ENCC–Mlima wa Bwana, Ndwati Kibaha)